burundi bwacu

lundi 17 septembre 2018

Mambo 5 yanayoweza kukufanya ulale vizuri
  1. Kupata kiamsha kinywa ndani ya nusu saa au saa moja baada ya kuamka, haswa kama unajisikia uchovu. Ni muhimu kula kitu ili kutuliza mzunguko wa damu na sukari.
  2. Punguza unywaji wa kahawa au vinywaji vingine vyenye kafeini kwa kula chakula kama mbadala wake.
  3. Kunywa maji kwa wingi; Maji katika mwili huchukua asiliia 60 hivyo ni vyema unywe lita mbili za maji kila siku. Maji ya matunda(juice) pia ni mazuri lakini sio chai au kahawa.
  4. Jitenge na matumizi ya simu wakati wote mchana, pumzisha macho kiasi. Usilale na simu yako karibu au kuiwasha simu kuwa ndio kitu cha kwanza unafanya asubuhi.
  5. Lala mapema mara tatu au nne kwa wiki. Si lazima ulale moja kwa moja, unaweza kusoma kitabu au kufikiria jinsi siku yako ilivyokuwa.



 by Innocent IRAKOZE

1 commentaire: